Baada ya mapumziko ya takribani wiki mbili kupisha kalenda ya FIFA, mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea wiki hii ambapo leo mchezo mmoja utapigwa.
Singida BS itakuwa mwenyeji wa Azam Fc katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Airtel mkoani Singida.
Ni mechi inayotarajiwa kuwa na upinzani mkali ikizikutanisha timu mbili ambazo msimu huu zilikuwa wawakilishi wa nchi kwenye..... download Xtra 90 App



