Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Ligi Kuu inarejea leo baada ya mapumziko ya kalenda ya FIFA

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 Apr 2026
Ligi Kuu inarejea leo baada ya mapumziko ya kalenda ya FIFA

Baada ya mapumziko ya takribani wiki mbili kupisha kalenda ya FIFA, mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea wiki hii ambapo leo mchezo mmoja utapigwa.

Singida BS itakuwa mwenyeji wa Azam Fc katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Airtel mkoani Singida.

Ni mechi inayotarajiwa kuwa na upinzani mkali ikizikutanisha timu mbili ambazo msimu huu zilikuwa wawakilishi wa nchi kwenye michuano ya kombe la Shirikisho la CAF (CAFCC).

Ni vita ya mapema kuwania nafasi nne za juu kwenye msimamo kwa sasa Singida BS wakiwa nafasi ya 6 na alama 25 wakati Azam Fc wako nafasi ya tatu wakiwa na alama 29.

Mchezo mwingine unatarajiwa kupigwa kesho Alhamisi, April 02 Simba ikiikaribisha Coastal Union mchezo utakaopigwa uwanja wa Isamuhyo.

Hii hapa ratiba ya mechi zote wiki hii;

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
48m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’