Tetesi za usajili Ulaya, Jumatano April 1 2026

Joel JJ By Joel JJ β€’ 1st April 2026


Tetesi za usajili Ulaya, Jumatano April 1 2026

Soko la usajili barani Ulaya linaendelea kupamba moto huku vilabu vikubwa vikianza kujipanga mapema kabla ya dirisha la majira ya joto. Hizi hapa ni tetesi kubwa zinazotikisa barani Ulaya:


Manchester City vs Manchester United: Vita ya Elliot Anderson

Manchester City wako mbele ya wapinzani wao Manchester United katika mbio za kumsajili kiungo wa Nottingham Forest, Elliot Anderson.
Kwa mujibu wa Mail, City wanapanga kuharakisha dili hilo kabla ya Kombe la Dunia msimu huu.


Manchester United wamkazia macho Sandro Tonali

Habari kutoka The Sun zinaeleza kuwa United wamepata matumaini mapya ya kumsajili Sandro Tonali kutoka Newcastle United, huku klabu hiyo ikidaiwa kuwa tayari kuuza nyota wake kwa bei nzuri.


Liverpool wamwandalia mbadala Mohamed Salah

Liverpool wanamtazama kwa karibu Francisco Conceicao wa Juventus kama mrithi wa Mohamed Salah, ambaye anaweza kuondoka mwishoni mwa msimu (Gazzetta dello Sport).


Joao Gomes avutia vigogo

Kiungo Joao Gomes wa Wolverhampton Wanderers anawindwa na United na vilabu vingine, akiwa na thamani ya karibu pauni milioni 39 ikiwa Wolves watashuka daraja (Offside Trap).


Charlie Cresswell karibu na Old Trafford?

Manchester United wanaongoza mbio za kumsajili Charlie Cresswell kutoka Toulouse (TeamTalk).


Bayern Munich hawamtaki Phil Foden

Bayern Munich hawana mpango wa kumsajili Phil Foden kutoka Manchester City kutokana na gharama kubwa ya uhamisho (Bild).


Joshua Zirkzee kutaka kubaki United

Joshua Zirkzee anadaiwa kutaka kuendelea kusalia United, akiamini ana nafasi chini ya Michael Carrick (Mail).


Tino Livramento awaniwa na Arsenal na City

Arsenal na Manchester City wanavutiwa na Tino Livramento wa Newcastle iwapo hatasaini mkataba mpya (Football Insider).


Villarreal wamtaka Ismaila Sarr

Villarreal wanapanga kumsajili Ismaila Sarr kutoka Crystal Palace (Fichajes).


Real Madrid wapata matumaini kwa Schlotterbeck

Nico Schlotterbeck amekanusha kusaini mkataba mpya na Borussia Dortmund, hali inayofungua mlango kwa Real Madrid (AS).


Marcus Rashford huenda akaondoka United

Marcus Rashford, ambaye yuko kwa mkopo Barcelona, ni miongoni mwa wachezaji wanaotarajiwa kuuzwa ili klabu ipate zaidi ya pauni milioni 100 (Sky Sports).


Barcelona wamwandalia mbadala Rashford

Barcelona wanamfikiria Andreas Schjelderup wa Benfica kama mbadala (Record).


Hugo Ekitike awavutia Real Madrid

Hugo Ekitike ameibuka kuwa chaguo jipya kwa Real Madrid baada ya msimu mzuri akiwa Liverpool (TeamTalk).


Soko la usajili barani Ulaya linaendelea kupamba moto huku vilabu vikubwa vikianza kujipanga mapema kabla ya dirisha la majira ya joto. Hizi hapa ni tetesi kubwa zinazotikisa magazeti ya michezo leo:


Manchester City vs Manchester United: Vita ya Elliot Anderson

Manchester City wako mbele ya wapinzani wao Manchester United katika mbio za kumsajili kiungo wa Nottingham Forest, Elliot Anderson.
Kwa mujibu wa Mail, City wanapanga kuharakisha dili hilo kabla ya Kombe la Dunia msimu huu.


Manchester United wamkazia macho Sandro Tonali

Habari kutoka The Sun zinaeleza kuwa United wamepata matumaini mapya ya kumsajili Sandro Tonali kutoka Newcastle United, huku klabu hiyo ikidaiwa kuwa tayari kuuza nyota wake kwa bei nzuri.


Liverpool wamwandalia mbadala Mohamed Salah

Liverpool wanamtazama kwa karibu Francisco Conceicao wa Juventus kama mrithi wa Mohamed Salah, ambaye anaweza kuondoka mwishoni mwa msimu (Gazzetta dello Sport).


Joao Gomes avutia vigogo

Kiungo Joao Gomes wa Wolverhampton Wanderers anawindwa na United na vilabu vingine, akiwa na thamani ya karibu pauni milioni 39 ikiwa Wolves watashuka daraja (Offside Trap).


Charlie Cresswell karibu na Old Trafford?

Manchester United wanaongoza mbio za kumsajili Charlie Cresswell kutoka Toulouse (TeamTalk).


Bayern Munich hawamtaki Phil Foden

Bayern Munich hawana mpango wa kumsajili Phil Foden kutoka Manchester City kutokana na gharama kubwa ya uhamisho (Bild).


Joshua Zirkzee kutaka kubaki United

Joshua Zirkzee anadaiwa kutaka kuendelea kusalia United, akiamini ana nafasi chini ya Michael Carrick (Mail).


Tino Livramento awaniwa na Arsenal na City

Arsenal na Manchester City wanavutiwa na Tino Livramento wa Newcastle iwapo hatasaini mkataba mpya (Football Insider).


Villarreal wamtaka Ismaila Sarr

Villarreal wanapanga kumsajili Ismaila Sarr kutoka Crystal Palace (Fichajes).


Real Madrid wapata matumaini kwa Schlotterbeck

Nico Schlotterbeck amekanusha kusaini mkataba mpya na Borussia Dortmund, hali inayofungua mlango kwa Real Madrid (AS).


Marcus Rashford huenda akaondoka United

Marcus Rashford, ambaye yuko kwa mkopo Barcelona, ni miongoni mwa wachezaji wanaotarajiwa kuuzwa ili klabu ipate zaidi ya pauni milioni 100 (Sky Sports).


Barcelona wamwandalia mbadala Rashford

Barcelona wanamfikiria Andreas Schjelderup wa Benfica kama mbadala (Record).


Hugo Ekitike awavutia Real Madrid

Hugo Ekitike ameibuka kuwa chaguo jipya kwa Real Madrid baada ya msimu mzuri akiwa Liverpool (TeamTalk).



  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.