Kocha Msaidizi wa Simba Suleiman Matola amesema maandalizi kuelekea mchezo wa ligi kuu dhidi ya Coastal Union yamekamilika na wana matumaini makubwa ya kushinda mchezo huo.
Akizungumza katika mkutano na wanahabari mapema leo, Matola alisema wanatambua ugumu wa mchezo ulio mbele yao hasa kutokana na ubora wa wapinzani wao ambao mara nyingi wamewapa changamoto kila..... download Xtra 90 App



