Chama cha Soka cha Ghana (GFA) kimeanza mazungumzo na kocha wa zamani wa Morocco Walid Regragui, kuhusu uwezekano wa kuinoa timu ya taifa ya nchi hiyo, maarufu kama Black Stars.
Taarifa kutoka vyombo mbalimbali vya habari barani Afrika zinaeleza kuwa Regragui ni miongoni mwa makocha wanaopewa nafasi kubwa ya kushika wadhifa huo, huku mazungumzo kati yake na GFA yakiwa tayari yameanza,..... download Xtra 90 App



