International,Transfer News,Man city, Barcelona

Barcelona Waongoza Mbio za Kumsajili Bernardo Silva

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
2 Apr 2026
Barcelona Waongoza Mbio za Kumsajili Bernardo Silva

Klabu ya FC Barcelona inaongoza mbio za kumsajili kiungo mshambuliaji wa Manchester City, Bernardo Silva bure katika dirisha la majira ya kiangazi.

Iwapo dili hilo litakamilika, linaweza kuashiria mwisho wa enzi kwa nyota huyo ndani ya Manchester City baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa mafanikio makubwa kwa kipindi cha miaka tisa.

Katika muda wake ndani ya City, Silva amefanikiwa kutwaa mataji mbalimbali makubwa yakiwemo:

  •  Premier League mara kadhaa
  • UEFA Champions League mara 1
  • FA Cup
  • Kombe la Ligi (League Cup) 
  • UEFA Super Cup
  • Kombe la Dunia la Klabu (FIFA Club World Cup)
  • Community Shield

Barcelona wanaona usajili wa Silva kama fursa muhimu ya kuongeza uzoefu na ubora ndani ya kikosi chao, huku wakitarajia kumleta bila gharama ya uhamisho.

(Taarifa: Sun Sport)

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
4h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
16h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’