International,Normal News,Brazil

Neymar Hatatarajiwa Kujumuishwa Kikosi cha Ancelotti Kombe la Dunia

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
2 Apr 2026
Neymar Hatatarajiwa Kujumuishwa Kikosi cha Ancelotti Kombe la Dunia

Nyota wa kimataifa wa Brazil , Neymar jr, hatatarajiwa kujumuishwa katika kikosi kitakachoenda kushiriki FIFA World Cup 2026 chini ya kocha Carlo Ancelotti.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka ESPN, kikosi cha Ancelotti kinatarajiwa kufanana kwa kiasi kikubwa na kile kilichotumika katika mapumziko ya mwisho ya kimataifa, hali inayopunguza nafasi ya Neymar kurejea kikosini kwa sasa.

Uamuzi huo unaweza kuzua mjadala mkubwa miongoni mwa mashabiki, ukizingatiwa mchango mkubwa wa Neymar katika timu ya taifa ya Brazil kwa miaka mingi.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
5h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
8h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
10h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
12h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
14h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
15h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
15h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
17h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
20h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’