International,Normal News,Italy

Gattuso Hatakuwa Kocha wa Italia, Conte na Allegri Watajwa Kurithi Nafasi

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
2 Apr 2026
Gattuso Hatakuwa Kocha wa Italia, Conte na Allegri Watajwa Kurithi Nafasi

Gennaro Gattuso hatakuwa kocha wa Italy national team, huku mpango huo ukitajwa kufikia tamati rasmi.

Maamuzi hayo yanakuja kufuatia presha kubwa ndani ya timu ya taifa baada ya Italia kushindwa kufuzu kushiriki FIFA World Cup 2026, kufuatia kipigo cha kushangaza dhidi ya Bosnia and Herzegovina national team katika hatua ya mtoano.

Matokeo hayo yameibua mjadala mkubwa na kupelekea mabadiliko ya haraka katika benchi la ufundi, huku mashabiki na wachambuzi wakitaka mwelekeo mpya wa timu hiyo.

Kwa sasa, Antonio Conte na Massimiliano Allegri ndio majina yanayoongoza kupewa jukumu la kuinoa Italia, huku uongozi ukitarajiwa kufanya uamuzi wa mwisho hivi karibuni.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
49m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’