Sakata la usajili wa kiungo wa Yanga, Mohamed Damaro Camara, limechukua sura mpya baada ya Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kulitupilia mbali rasmi shauri lililowasilishwa na klabu ya Simba SC.
Kupitia taarifa iliyotolewa Aprili 2, 2026 na Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Cliford Mario Ndimbo, kamati hiyo imebainisha kuwa haina..... download Xtra 90 App



