Klabu ya Yanga imepata faraja baada ya mshambuliaji wake tegemeo, Prince Dube kurejea rasmi kikosini kufuatia kupona majeraha yaliyokuwa yakimsumbua kwa kipindi cha hivi karibuni.
Dube amerejea leo akianza mazoezi pamoja na wachezaji wenzake, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa Jumamosi, Aprili 4, 2026 katika Uwanja wa KMC..... download Xtra 90 App



