Aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba SC, Ismail Aden Rage, ameishauri klabu hiyo kuachana na sakata la kiungo wa Yanga, Mohamed Damaro Camara, akisema kuendelea kulifuatilia ni kupoteza muda na nguvu bila sababu ya msingi.
Rage alitoa kauli hiyo yakiwa ni maoni yake akisisitiza kuwa hakuna faida kwa Simba kuendelea kushinikiza suala hilo baada ya uamuzi uliotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu..... download Xtra 90 App



