Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wamejiimarisha kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo uliopigwa Uwanja wa KMC Complex.
Ushindi huo unaifanya Yanga kufikisha alama 41, huku ukiwa ni muhimu baada ya kukaa kwa dakika 270 bila kupata ushindi.
Katika mchezo huo, Yanga ilianza kwa kasi na kutawala..... download Xtra 90 App



