International,Normal News,Arsenal, Southampton, FA cup

Southampton Waing’oa Arsenal FA Cup

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
5 Apr 2026
Southampton Waing’oa Arsenal FA Cup

Klabu ya Southampton inayoshiriki ligi daraja la kwanza (Championship) imeandika historia baada ya kuiondoa Arsenal FC katika hatua ya robo fainali ya FA Cup.

Katika mchezo huo uliowashtua wengi, Southampton walionyesha kiwango cha juu na kufanikiwa kupata ushindi muhimu uliowavusha mpaka hatua ya nusu fainali huku mabao yakifungwa na nyota wao Ross Stewart (29) na Shea Charles (22) huku bao pekee la Arsenal likifungwa na mshambuliaji wao Victor Gyökores.

Kwa upande wa Arsenal, huu unakuwa ni muendelezo wa matokeo mabaya baada ya kupokea kipigo cha pili mfululizo, hali inayozidi kuongeza presha kwa kocha Mikel Arteta.

Kuondolewa huko kunamaanisha kuwa Arsenal wamepoteza nafasi ya kushinda makombe yote ya ndani (domestic cups), na sasa matumaini yao ya taji yamebaki katika Premier League na UEFA Champions League pekee.

Matokeo hayo pia yamezua mjadala mkubwa miongoni mwa wachambuzi na mashabiki kuhusu mustakabali wa Arteta, huku swali likiwa kama atahesabika kufeli iwapo atamaliza msimu bila taji tena.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE →
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE →
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE →
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE →
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE →
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE →
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE →
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE →
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE →