International,Normal News,PSV, Eredevisie,Feyenoord

PSV Watwaa Ubingwa wa Eredivisie kwa Mara ya 27 Mfululizo wa Tatu

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
5 Apr 2026
PSV Watwaa Ubingwa wa Eredivisie kwa Mara ya 27 Mfululizo wa Tatu

Klabu ya PSV Eindhoven imetangazwa rasmi kuwa mabingwa wa Eredivisie baada ya wapinzani wao wakuu Feyenoord kutoka sare katika mchezo wao wa leo dhidi ya Fc Volendam.

Huu ni ubingwa wa 27 kwa PSV katika historia ya klabu hiyo, na wa tatu mfululizo, hatua inayothibitisha ubora wao na uthabiti mkubwa ndani ya soka la Uholanzi.

PSV wameendelea kutawala ligi hiyo kwa kiwango cha juu, wakionesha ushindani mkali na kuacha pengo dhidi ya wapinzani wao katika msimamo wa ligi.

Ni mafanikio makubwa kwa klabu hiyo, yakionyesha enzi mpya ya ubabe wao ndani ya Eredivisie.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’