Timu za Azam FC na Simba SC zimetoka sare ya bila kufungana katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Jumapili, Aprili 5, 2026, kwenye Uwanja wa Azam Complex Stadium
Mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa ulizikutanisha timu hizo mbili zinazowania nafasi za juu kwenye msimamo wa ligi, huku kila upande ukionyesha umakini mkubwa hasa katika safu ya ulinzi.





