Inter Milan imeendeleza ubabe wake katika Ligi Kuu ya Italia (Serie A) baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 5-2 dhidi ya AS Roma katika mchezo uliochezwa Aprili 5, 2026, kwenye uwanja wa San Siro.
Mchezo huo ulianza kwa kasi kubwa ambapo nahodha Lautaro MartΓnez aliipatia Inter bao la mapema ndani ya dakika ya kwanza, akionyesha kiwango bora baada ya kurejea kutoka majeruhi. Roma..... download Xtra 90 App



