Local,Normal News,Yanga, Pamba

Yanga kuiwahi mapema Pamba Jiji

Joel JJ By Joel JJ
β€’
6 Apr 2026
Yanga kuiwahi mapema Pamba Jiji

Baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo uliopita wa ligi kuu ya NBC, vinara wa ligi Yanga wanakabiliwa na mechi nyingine ngumu ugenini jijini Mwanza.

Ni mchezo dhidi ya Tanzania Prisons ambao utapigwa Jumatano April 08 katika uwanja wa CCM Kirumba.

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema kikosi cha timu kitaondoka jijini Dar es salaam kusiku wa leo Jumatatu kuelekea Mwanza tayari kwa mchezo huo.

Kamwe amesema wanatambua mchezo dhidi ya Pamba Jiji utakuwa mgumu lakini lengo lao ni kuvuna alama tatu ili kuendelea kujiimarisha juu ya msimamo wa ligi.

"Kikosi chetu kinaondoka jijini Dar es salaam leo saa 3 usiku kuelekea Mwanza kwa ajili ya mchezo dhidi ya Pamba Jiji utakaopigwa CCM Kirumba April 09"

"Tumepata tena faida ya kuwa kileleni kwa tofauti ya alama tatu hvyo hatupaswi kurudia tena makosa"

"Tunafahamu ubingwa wa msimu huu unahitaji roho ngumu na mapambano makali ndani na nje ya uwanja. Nawaasa mashabiki watoke majumbani, tuwe mstari wa mbele kuisapoti timu yetu kila mechi." alisema Kamwe

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
3h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
3h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
4h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
5h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
6h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
6h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
20h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
21h ago
READ MORE β†’