Baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo uliopita wa ligi kuu ya NBC, vinara wa ligi Yanga wanakabiliwa na mechi nyingine ngumu ugenini jijini Mwanza.
Ni mchezo dhidi ya Tanzania Prisons ambao utapigwa Jumatano April 08 katika uwanja wa CCM Kirumba.
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema kikosi cha timu kitaondoka jijini Dar es salaam..... download Xtra 90 App



