Local,Normal News,Simba

Simba kwenda Arusha kwa mafungu

Joel JJ By Joel JJ
β€’
6 Apr 2026
Simba kwenda Arusha kwa mafungu

Baadhi ya wachezaji wa Simba usiku wa leo wataondoka jijini Dar es salaam kuelekea Arusha wanakokabiliwa na mfululizo wa mechi za ligi kuu ya kombe la CRDB.

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ali amesema msafara wa kwanza utaondoka saa 8 usiku na msafara wa pili kuondoka kesho saa 12 asubuhi.

Simba inakabiliwa na mechi tatu jijini Arusha ambao zote zitapigwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

April 09 watacheza dhidi ya TRA United, April 12 watacheza dhidi ya Dodoma Jiji (kombe la CRDB) na April 15 watacheza dhidi ya Fountain Gate.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’