Katika ujumbe wa umoja na kukemea ubaguzi, Vinícius Júnior, kiungo mshambuliaji mahiri wa klabu ya Real Madrid na timu ya Taifa ya Brazil, ameonyesha sapoti yake kwa Lamine Yamal, nyota kijana wa FC Barcelona, kufuatia matukio ya kauli za ubaguzi zilizosikika uwanjani hivi karibuni.
Hii imejiri baada ya mchezo wa kirafiki wa kimataifa kati ya Hispania na Misri uliochezwa RCDE Stadium..... download Xtra 90 App



