International,Normal News,Real Madrid, Bayern munich, UEFA

Mbappe Atarajia Presha Kubwa Real Madrid Kabla ya Mtanange na Bayern Munich

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
7 Apr 2026
Mbappe Atarajia Presha Kubwa Real Madrid Kabla ya Mtanange na Bayern Munich

Shinikizo linaendelea kumwandama mshambuliaji nyota Kylian Mbappé kuelekea mchezo mkubwa wa robo fainali ya UEFA Champions League dhidi ya Bayern Munich.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka MARCA, baadhi ya mashabiki wa Real Madrid katika dimba la Santiago Bernabéu wanatajwa kuwa tayari kuonyesha kutoridhishwa kwao endapo Mbappé hatatoa kiwango kinachotarajiwa katika mchezo huo wa leo.

Inaripotiwa kuwa hali ya kupigiwa kelele na kuzomewa inaweza kujitokeza iwapo mshambuliaji huyo hatakuwa na mchango mkubwa uwanjani.

Shinikizo la aina hii si jambo geni ndani ya klabu hiyo, ambayo inajulikana kwa viwango vya juu vya matarajio kwa wachezaji wake. Historia inaonyesha kuwa hata majina makubwa kama Zinedine Zidane, Ronaldo Nazário na Cristiano Ronaldo waliwahi kukumbana na hali kama hiyo katika vipindi tofauti walipokuwa klabuni hapo.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’