Dirisha la usajili majira ya kiangazi linakaribia huku vilabu vikubwa vikianza kuweka wazi malengo yao. Leo, taarifa zinaonyesha harakati kubwa za kuimarisha vikosi, hasa katika Premier League.
Arsenal Waimarisha Ulinzi
Arsenal wanatafuta kuongeza nguvu safu ya ulinzi kwa kulenga kumsajili Victor Valdepenas wa Real Madrid pamoja na Jacobo Ramon wa Como..... download Xtra 90 App



