Klabu ya Singida Black Stars imeanza kuonyesha ishara za mabadiliko makubwa baada ya hivi karibuni kutangaza kuachana na benchi lake la ufundi na kuanza harakati za kumwajiri kocha mpya.
Kwa sasa, uongozi wa Singida Black Stars umejikita katika juhudi za kumleteua kocha mpya ambaye ana uzoefu wa kimataifa pamoja na ujuzi wa kusimamia timu kikubwa. Miongoni mwa majina yanayotajwa na vyanzo..... download Xtra 90 App



