Local,Transfer News,Singida, Maniema

Singida BS yafuata kocha DR Congo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
9 Apr 2026
Singida BS yafuata kocha DR Congo

Klabu ya Singida Black Stars imeanza kuonyesha ishara za mabadiliko makubwa baada ya hivi karibuni kutangaza kuachana na benchi lake la ufundi na kuanza harakati za kumwajiri kocha mpya.

Kwa sasa, uongozi wa Singida Black Stars umejikita katika juhudi za kumleteua kocha mpya ambaye ana uzoefu wa kimataifa pamoja na ujuzi wa kusimamia timu kikubwa. Miongoni mwa majina yanayotajwa na vyanzo vya soka ni Papy Kimoto Okitankoyi, kocha raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo) ambaye hivi karibuni aliondoka kutoka post yake ya uongozi wa klabu ya AS Maniema Union.

Majadiliano rasmi kati ya Singida Black Stars na Kimoto yameanza, na uteuzi wake unaonekana kukaribia kukamilika, huku uongozi ukisema anafaa kutokana na uzoefu wake wa kusimamia timu mbalimbali barani Afrika na uwezo wa kuleta mabadiliko ya kiufundi. Ni mara yake ya kwanza kusimamia timu katika soka la Tanzania ikiwa atakubali ofa ya Singida BS.

Tayari majina mengine ya makocha yalikuwa yameibuka kama wagombea wa nafasi hiyo, ikiwemo ya kocha Guy Bukasa, lakini mazungumzo na Bukasa yamegubikwa na changamoto ikilinganishwa na kile kilichopendekezwa na Kimoto. Hii imeifanya Singida BS kuiwekea nguvu zaidi mzungumzo na kocha huyo wa DR Congo kufanya mkataba haraka iwezekanavyo.

More Stories

Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
4h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
8h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
9h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
11h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
11h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
15h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
17h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
17h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’