Simba chupuchupu Arusha, Mbeya City yaikazia Azam Fc

Joel JJ By Joel JJ • 9th April 2026


Simba chupuchupu Arusha, Mbeya City yaikazia Azam Fc

Ligi Kuu ya NBC iliendelea leo ambapo mechi zilipigwa mkoani Arusha na kule Manyara.

Mchezo uliokuwa ukifuatiliwa kwa karibu na mashabiki wa soka nchini ni kati ya TRA United dhidi ya Simba uliopigwa uwanja wa Shelkh Amri Abeid.

Dakika 90 za mchezo huo zimemalizika kwa matokeo ya suluhu ya bila kufungana huku TRA United wakijilaumu kwa kushindwa kuondoka na alama zote..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →