Mshambuliaji wa Tanzania Habib Kyombo amejiunga rasmi na klabu ya NAPSA Stars ya Zambia, katika uhamisho huru baada ya kuachana na klabu ya Mbeya City.
Kwa mujibu wa taarifa za usajili kutoka ndani ya klabu hiyo, Kyombo amekamilisha uhamisho wake baada ya makubaliano kufikiwa kati ya pande zote mbili, hatua inayotarajiwa kuongeza nguvu kwenye kikosi cha NAPSA Stars kuelekea msimu mpya wa..... download Xtra 90 App



