Kipa raia wa Ivory Coast, Issa Fofana, anaonekana kuwa kwenye wakati mgumu ndani ya kikosi cha Azam FC, hali iliyozua tetesi kuwa anaweza kuondoka mwishoni mwa msimu huu.
Kwa mujibu wa taarifa za karibuni, Fofana anafikiria kurejea kwa waajiri wake wa zamani, Al Hilal Omdurman, baada ya kukosa nafasi ya kudumu kwenye kikosi cha kwanza.
Fofana alisajiliwa na Azam FC akiwa na..... download Xtra 90 App



