Klabu ya Real Madrid inaendelea kupitia kipindi kigumu katika mbio za ubingwa wa La Liga baada ya kulazimishwa sare ya mabao 1-1 dhidi ya Girona FC kwenye mchezo uliopigwa Aprili 10, 2026 katika dimba la Santiago Bernabéu.
Sare yenye maumivu kwa Madrid
Katika mchezo huo, kiungo Federico Valverde aliipa Madrid bao la kuongoza dakika ya 51, lakini Girona walijibu haraka kupitia..... download Xtra 90 App



