Soko la usajili barani Ulaya linaendelea kushika kasi huku klabu zikianza kupanga mikakati ya mwisho kabla ya dirisha la majira ya kiangazi kufunguliwa. Hizi hapa ni tetesi moto zinazotawala vichwa vya habari leo:
Tottenham Wamnyemelea Andy Robertson
Kwa mujibu wa The Athletic, Tottenham Hotspur wanatajwa kuwa kwenye mbio za kumsajili Andy Robertson kutoka Liverpool FC kama..... download Xtra 90 App



