Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, amesema atafanya mabadiliko machache ya kiufundi katika kikosi chake kuelekea mchezo wa hatua ya 16 bora ya Kombe la CRDB dhidi ya Dodoma Jiji, unaotarajiwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.
Barker amesema mabadiliko hayo yanalenga kuongeza ubunifu wa timu katika kutengeneza nafasi za mabao, hasa kutokana na changamoto ya ukame wa mabao..... download Xtra 90 App



