Soko la usajili linaendelea kushika kasi huku vilabu vikubwa na vya kati vikifanya tathmini ya vikosi vyao kuelekea dirisha la majira ya kiangazi. Hizi hapa ni tetesi muhimu za leo kutoka vyanzo mbalimbali vya michezo:
Newcastle Wamtaka Manuel Ugarte
Kwa mujibu wa Football Insider, Newcastle United wanapania kuimarisha safu yao ya kiungo kwa kumuwania Manuel Ugarte kutoka..... download Xtra 90 App



