Klabu ya Azam FC ya Tanzania inaripotiwa kuendelea kumfuatilia beki wa kulia raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Steve Ebuela, ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya Al Hilal SC, katika jitihada za kuimarisha safu yake ya ulinzi kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Kwa mujibu wa taarifa za karibu na uongozi wa klabu hiyo, Azam FC iliwahi kujaribu kumsajili..... download Xtra 90 App



