Dirisha la usajili linazidi kunoga huku vigogo wa soka Ulaya wakipanga mikakati ya mwisho kabla ya majira ya kiangazi. Hizi hapa ni tetesi kuu za leo kutoka vyanzo mbalimbali vya habari za michezo:
Arsenal na Chelsea Wamuwania Lewis Hall
Kwa mujibu wa CaughtOffside, Arsenal FC na Chelsea FC wanaongoza katika mbio za kumsajili Lewis Hall kutoka Newcastle United, lakini klabu hiyo..... download Xtra 90 App



