Klabu ya Atlético Madrid imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya UEFA Champions League baada ya kuiondoa FC Barcelona kwa jumla ya mabao 3-2, licha ya kupoteza mchezo wa pili kwa mabao 2-1 katika dimba la Metropolitano.
Katika mechi hiyo ya kusisimua, Barcelona walianza kwa kasi na kupata mabao mawili ya mapema kupitia Lamine Yamal dakika ya 4 na Ferran Torres dakika ya 24,..... download Xtra 90 App



