Kocha Mkuu wa Young Africans SC, Pedro Goncalves amesema kikosi chake kiko tayari kikamilifu kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya City FC, huku akisisitiza kuwa lengo lao kuu ni kupata alama zote tatu.
Akizungumza kuelekea mchezo huo utakaopigwa Alhamisi, Aprili 16 katika uwanja wa KMC Complex, Goncalves alikiri kuwa hautakuwa mchezo rahisi, lakini ana imani kubwa na..... download Xtra 90 App



