Bayern waiondoa Madrid Uefa, watinga nusu fainali kibabe

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media • 16th April 2026


Bayern waiondoa Madrid Uefa, watinga nusu fainali kibabe

Klabu ya Bayern Munich imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya UEFA Champions League baada ya kuibuka na ushindi wa kusisimua wa mabao 4-3 dhidi ya Real Madrid, na kufuzu kwa jumla ya mabao 6-4.

Mchezo huo uliochezwa katika dimba la Allianz Arena ulikuwa na kila kitu, mabao ya mapema, mabadiliko ya matokeo na tamati ya kushtua, ambapo Real Madrid walianza kwa kasi kupitia Arda Güler..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →