Soko la usajili linaendelea kupamba moto barani Ulaya huku klabu zikianza kuweka wazi malengo yao ya majira ya kiangazi. Hizi hapa ni tetesi kuu za leo kutoka vyanzo mbalimbali vya kuaminika:
Liverpool Wamkaribia Marcos Senesi
Kwa mujibu wa i, Liverpool FC wanaongoza katika mbio za kumsajili Marcos Senesi wa AFC Bournemouth, ambaye mkataba wake unakaribia kuisha.





