Local,Normal News,Yanga, Mbeya City, Mashujaa, SIngida

Ligi Kuu; Yanga dhidi ya Mbeya City, Mashujaa uso kwa uso na Singida BS

Joel JJ By Joel JJ
β€’
16 Apr 2026
Ligi Kuu; Yanga dhidi ya Mbeya City, Mashujaa uso kwa uso na Singida BS

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi mbili zinatarajiwa kupigwa jijini Dar es salaam na mkoani Kigoma.

Vinara wa ligi hiyo Yanga watakuwa dimba la KMC Complex kuikabili Mbeya City katika mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali.

Ushindi kwa Yanga utawahakikishia Wananchi kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa ligi huku Mbeya City nao wakihitaji kufanya vyema katika mchezo huo ili kujiweka katika eneo salama kuepuka kushuka daraja.

Mchezo mwingine utapigwa mapema mkoani Kigoma ambapo Mashujaa Fc watakuwa wenyeji wa Singida BS. mtanange utakaopigwa saa 10 jioni.

Mkufunzi wa Mashujaa Fc Jamhuri Kiwhelo 'Julio' atakuwa akisaka ushindi wake wa kwanza kwenye ligi tangu akabidhiwe mikoba ya kuinoa timu hiyo.

Hata hivyo anakwenda kukabliana na Singida BS ambayo ni hivi karibuni imetangaza benchi jipya la ufundi ikimuajiri Mcongomani Papy Kimoto kuwa Meneja Mkuu wa timu hiyo.

More Stories

Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
44m ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
5h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
5h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
7h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
7h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
11h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
13h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
14h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’