Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi mbili zinatarajiwa kupigwa jijini Dar es salaam na mkoani Kigoma.
Vinara wa ligi hiyo Yanga watakuwa dimba la KMC Complex kuikabili Mbeya City katika mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali.
Ushindi kwa Yanga utawahakikishia Wananchi kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa ligi huku Mbeya City nao wakihitaji kufanya vyema katika mchezo huo..... download Xtra 90 App



