Mbeya City yamfuta kazi Mexime baada ya kipigo dhidi ya Yanga

Joel JJ By Joel JJ • 17th April 2026


Mbeya City yamfuta kazi Mexime baada ya kipigo dhidi ya Yanga

Klabu ya Mbeya City imemfuta kazi Kocha Meckie Mexime na makocha wasaidizi baada ya kipigo cha mabao 6-0 dhidi ya Yanga katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa KMC Complex.

Hicho kilikuwa kipigo 'kizito' cha pili mfululizo baada ya kuvurumishwa mabao 5-1 na Singida BS kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora kombe la CRDB.



  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →