Local,Normal News,TRA, Pamba, Azam, JKT

Ligi Kuu : TRA United, Pamba, Azam, JKT Tanzania viwanjani leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 Apr 2026
Ligi Kuu : TRA United, Pamba, Azam, JKT Tanzania viwanjani leo

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo mzunguuko wa 19 ambapo mechi mbili zitapigwa mikoa ya Arusha na Dar es salaam.

TRA United ikiongozwa na winga aliyeteka vyombo vya habari hivi karibuni Ramadhan Chobwedo, itakuwa mwenyeji wa Pamba Jiji katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

Ni vita ya kuwania nafasi ya sita, kama TRA United watashinda mchezo huo wataiondoa Pamba Jiji katika nafasi ya sita kwnai watafikisha alama 27.

Kwa sasa Pamba Jiji wako nafasi ya sita wakiwa na alama 26 wakati TRA United wako nafasi ya 7 wakiwa na alama 24.

Mchezo mwingine utapigwa saa 1 usiku Azam FC wakiwakaribisha JKT Tanzania. Licha ya kuwa matokeo ya mchezo huo hayaweza kibadili chochote kwa kila timu kwenye msimamo wa ligi, lakini ushindi kwa utawahakikishia kujiweka salama katika vita ya kuwania nafasi nne za juu.

Azam Fc wako nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi wakiwa na alama 34 wakati JKT Tanzania wanashika nafasi ya nne wakiwa na alama 29.

More Stories

Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
4h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
4h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
6h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
7h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
10h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
12h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
13h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’
Kocha Dimitar Pantev ateuliwa kuwa kocha mpya wa Richard Bay.
Kocha Dimitar Pantev ateuliwa kuwa kocha mpya wa Richard Bay.
1d ago
READ MORE β†’