Mvutano mkubwa unatarajiwa kushuhudiwa kwenye dirisha lijalo la usajili kati ya wapinzani wa jadi wa soka Tanzania, Simba SC na Young Africans SC, huku wakianza mapema kupimana nguvu katika harakati za kumuwania mshambuliaji Suleiman Mwalimu.
Taarifa zinaeleza kuwa Yanga tayari imefungua mazungumzo na Wydad Athletic Club, kwa lengo la kuinasa saini ya mshambuliaji huyo ambaye kwa sasa..... download Xtra 90 App



