Azam FC imeibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Ijumaa, Aprili 17, 2026, kwenye Uwanja wa Azam Complex.
Azam FC ilipata ushindi wake katika kipindi cha pili, Japhet Kitambala akifungua ukurasa wa mabao kabla ya Iddy Nado kufunga mabao mawili yaliyokamilisha ushindi huo mnono.
Kipindi cha kwanza cha mchezo kilimalizika..... download Xtra 90 App



