Kocha wa Arsenal FC, Mikel Arteta, ameibua mjadala mkubwa baada ya kufichuliwa kwa mbinu zake zisizo za kawaida za kuwaandaa wachezaji wake kisaikolojia kabla ya mechi muhimu.
Kwa mujibu wa ripoti ya The Athletic, Arteta aliwahi kuwasha moto halisi katika uwanja wa mazoezi wa London Colney kama sehemu ya kuwajengea wachezaji wake hisia ya “kuwa moto” kabla ya pambano lao dhidi ya..... download Xtra 90 App



