International,Normal News,Local, Chelsea, Manchester United, Tottenham, Brighton, Leeds, Newcastle, Wolves

Hizi hapa mechi kubwa ligi ya Premia leo Jumamosi

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Apr 2026
Hizi hapa mechi kubwa ligi ya Premia leo Jumamosi

Michezo ya kusisimua ligi kuu ya Premia inatarajiwa kuchezwa leo huku ushindani ukizidi kupamba moto katika mbio za ubingwa, nafasi za Ulaya na vita ya kushuka daraja.

Hizi hapa ni mechi zitakazopigwa leo:


Brentford vs Fulham

Saa 14:30
Dabi ya London Magharibi yenye ushindani mkali, timu zote zikisaka pointi muhimu kwa matumaini ya kumaliza juu ya msimamo.


Leeds United vs Wolverhampton Wanderers

Saa 17:00
Mchezo muhimu katika vita ya kujinusuru kushuka daraja, kila upande ukihitaji ushindi.


Newcastle United vs AFC Bournemouth

Saa 17:00
Newcastle wanataka kutumia uwanja wa nyumbani kupata pointi tatu, lakini Bournemouth wanaweza kushtukiza.


Tottenham Hotspur vs Brighton & Hove Albion

Saa 19:30
Tottenham wanapambana kujiweka salama, wakati Brighton wakisaka kuendeleza matokeo mazuri.


Chelsea vs Manchester United

Saa 22:30
Mchezo mkubwa wa siku ukipigwa Stamford Bridge, timu zote zikisaka ushindi muhimu katika mbio za kuwania nafasi ya kucheza ligi ya mabingwa msimu ujao.

More Stories

Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
4h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
8h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
9h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
11h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
11h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
15h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
17h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
18h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’