Klabu ya Yanga imeeleza dhamira ya kuchukua hatua dhidi ya baadhi ya wachambuzi wa soka wanaodaiwa kuandika au kuzungumza habari zenye lengo la kuichafua klabu hiyo, hasa kuhusu tuhuma za upangaji wa matokeo.
Kwa mujibu wa Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe, uongozi wa klabu hiyo tayari umeanza kushughulikia suala hilo na utawajulisha wanachama hatua zitakazochukuliwa..... download Xtra 90 App



