Kiungo wa Azam FC, Feisal Salum maarufu kama 'Fei Toto', ameendelea kuwa nguzo muhimu ya timu hiyo akionyesha kiwango cha juu katika Ligi Kuu Bara.
Ijumaa usiku, Fei Toto aliiongoza Azam Fc kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya JKT Tanzania mchezo wa ligi kuu ya NBC akitoa asisti 2
Msimu huu wa 2025/26, Fei Toto ameshiriki moja kwa moja katika mabao 14 mpaka sasa, akifunga mabao 7 na..... download Xtra 90 App



