Klabu ya Coventry City imethibitisha rasmi kurejea katika Premier League kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2001, kufuatia safari ndefu ya miaka 25 nje ya ligi hiyo.
Hatua hiyo imekuja baada ya matokeo muhimu ya sare dhidi ya Blackburn Rovers ugenini, yaliyohakikisha timu hiyo inapata nafasi ya kupanda daraja na kurejea katika ligi kuu ya England.
Ni mafanikio makubwa kwa klabu hiyo..... download Xtra 90 App



