Arsenal yachapika Etihad, Mbio za ubingwa EPL ni kama zimeanza upya

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media • 19th April 2026


Arsenal yachapika Etihad, Mbio za ubingwa EPL ni kama zimeanza upya

Klabu ya Manchester City imeibuka na ushindi muhimu wa mabao 2-1 dhidi ya Arsenal katika mchezo wa Premier League uliochezwa katika dimba la Etihad, matokeo yaliyoitikisa kwa kiasi kikubwa mbio za ubingwa wa msimu huu.

Katika mchezo huo, City walipata mabao kupitia Rayan Cherki na Erling Haaland, huku bao la kufutia machozi la Arsenal likifungwa na Kai Havertz.

Ushindi huo unaongeza..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →