Soko la usajili linaendelea kushika kasi huku vilabu vikubwa vikifanya maamuzi muhimu kabla ya dirisha la majira ya kiangazi. Hizi hapa ni tetesi moto za leo kutoka vyanzo mbalimbali vya michezo:
Newcastle Wako Tayari Kumuza Anthony Gordon
Kwa mujibu wa The Times, Newcastle United wako tayari kumuuza Anthony Gordon kwenda Bayern Munich iwapo watapata ofa ya pauni milioni..... download Xtra 90 App



