Real Madrid inatarajiwa kushuka dimbani leo Jumanne, Aprili 21, 2026, kuikaribisha Deportivo Alavés katika mwendelezo wa michezo ya La Liga
Mchezo huo utapigwa katika dimba la Santiago Bernabéu Stadium saa 4:30 usiku, ukiwa sehemu ya ratiba ya raundi ya 33 ya ligi hiyo.





