International,Normal News,Real Madrid, Alaves

Real Madrid kumaliza hasira kwa Alaves leo?

Joel JJ By Joel JJ
21 Apr 2026
Real Madrid kumaliza hasira kwa Alaves leo?

Real Madrid inatarajiwa kushuka dimbani leo Jumanne, Aprili 21, 2026, kuikaribisha Deportivo Alavés katika mwendelezo wa michezo ya La Liga

Mchezo huo utapigwa katika dimba la Santiago Bernabéu Stadium saa 4:30 usiku, ukiwa sehemu ya ratiba ya raundi ya 33 ya ligi hiyo.

Real Madrid wanaingia katika pambano hilo wakisaka ushindi muhimu ili kuendelea kusalia kwenye mbio za ubingwa wa La Liga wakati Alavés wakihitaji pointi ili kujinusuru na hatari ya kushuka daraja.

Kocha wa Madrid Alvaro Arbeloa anatarajiwa kuwategemea nyota wake muhimu akiwemo Jude Bellingham, Vinícius Júnior na Kylian Mbappe kumpatia ushindi ili kupunguza presha inayoweka matatani hatma yake ya kuendelea kuwanoa mabingwa hao wa kihistoria barani Ulaya.

Hizi hapa ni mechi zinazopigwa leo:

  • Athletic Club vs CA Osasuna — saa 20:00
  • RCD Mallorca vs Valencia CF — saa 20:00
  • Girona FC vs Real Betis — saa 22:30

More Stories

Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
49m ago
READ MORE →
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
5h ago
READ MORE →
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
5h ago
READ MORE →
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
7h ago
READ MORE →
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
7h ago
READ MORE →
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
11h ago
READ MORE →
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
13h ago
READ MORE →
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
14h ago
READ MORE →
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE →
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE →