Klabu ya Mbeya City imemteua Salum Mayanga kuwa kocha mkuu mpya kufuatia kuondoka kwa Mecky Maxime na benchi lake la ufundi. Uamuzi huu unakuja katika kipindi kigumu kwa timu hiyo, ambayo inapambana kujinasua kwenye hatari ya kushuka daraja.
Mayanga si mgeni ndani ya kikosi hicho cha “Wagonga Nyundo”. Aliwahi kuinoa timu hiyo zamani wakati ikishiriki Ligi ya Championship (daraja la..... download Xtra 90 App



