Leicester City imeandika historia ya kusikitisha baada ya kuthibitishwa kushuka hadi Ligi One (daraja la tatu England), kufuatia sare ya mabao 2-2 dhidi ya Hull City. Kushuka huko kumekuja rasmi Aprili 2026 na kunahitimisha msimu mbaya uliogubikwa na matokeo duni na changamoto za kifedha.
Hii ni anguko kubwa kwa klabu hiyo ambayo miaka 10 tu iliyopita ilifanya maajabu kwa kutwaa ubingwa..... download Xtra 90 App



